As-Saffat · 152/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَلَدَ اللَّهُ وَإِنَّهُمْ لَكَاذِبُونَ ۝١٥٢
Waladal laahu wa innhum lakaaziboon
📖 Kwa Kiswahili
Mwenyezi Mungu amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 150-154 — As-Saffat

150أَمْ خَلَقْنَا الْمَلَائِكَةَ إِنَاثًا وَهُمْ شَاهِدُونَ
Au tumewaumba Malaika kuwa ni wanawake, na wao wakashuhudia?
151أَلَا إِنَّهُم مِّنْ إِفْكِهِمْ لَيَقُولُونَ
Ati ni kwa uzushi wao ndio wanasema:
152وَلَدَ اللَّهُ وَإِنَّهُمْ لَكَاذِبُونَ
Mwenyezi Mungu amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!
153أَصْطَفَى الْبَنَاتِ عَلَى الْبَنِينَ
Ati amekhiari watoto wa kike kuliko wanaume?
154مَا لَكُمْ كَيْفَ تَحْكُمُونَ
Mna nini? Mnahukumu vipi nyinyi?
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
152Aya

Tafsiri — As-Saffat 152

Sura As-Saffat Aya 152 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Mwenyezi Mungu amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni…

Sura Aya 152/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 150–154. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema