As-Saffat · 9/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
دُحُورًا ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ وَاصِبٌ ۝٩
Duhooranw wa lahum `azaabunw waasib
📖 Kwa Kiswahili
Wakifurushwa. Na wanayo adhabu ya kudumu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 7-11 — As-Saffat

7وَحِفْظًا مِّن كُلِّ شَيْطَانٍ مَّارِدٍ
Na kulinda na kila shet'ani a'si.
8لَّا يَسَّمَّعُونَ إِلَى الْمَلَإِ الْأَعْلَىٰ وَيُقْذَفُونَ مِن كُلِّ جَانِبٍ
Wasiweze kuwasikiliza viumbe watukufu. Na wanafukuzwa huko kila upande.
9دُحُورًا ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ وَاصِبٌ
Wakifurushwa. Na wanayo adhabu ya kudumu.
10إِلَّا مَنْ خَطِفَ الْخَطْفَةَ فَأَتْبَعَهُ شِهَابٌ ثَاقِبٌ
Isipo kuwa anaye nyakua kitu kidogo, na mara humfwatia kimondo kinacho ng'ara.
11فَاسْتَفْتِهِمْ أَهُمْ أَشَدُّ خَلْقًا أَم مَّنْ خَلَقْنَا ۚ إِنَّا خَلَقْنَاهُم مِّن طِينٍ لَّازِبٍ
Hebu waulize: Je! Wao ni wenye umbo gumu zaidi au hao wengine tulio waumba. Hakika Sisi tuliwaumba wao kwa udongo unao nata.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
9Aya

Tafsiri — As-Saffat 9

Sura As-Saffat Aya 9 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wakifurushwa. Na wanayo adhabu ya kudumu.

Sura Aya 9/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 7–11. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema