Sad · 15/88
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sad
وَمَا يَنظُرُ هَٰؤُلَاءِ إِلَّا صَيْحَةً وَاحِدَةً مَّا لَهَا مِن فَوَاقٍ ۝١٥
Wa maa yanzuru haaa ulaaa`i illaa saihatanw waahidatam maa lahaa min fawaaq
📖 Kwa Kiswahili
Na hawa hawangojei ila ukelele mmoja tu usio na muda.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 13-17 — Sad

13وَثَمُودُ وَقَوْمُ لُوطٍ وَأَصْحَابُ الْأَيْكَةِ ۚ أُولَٰئِكَ الْأَحْزَابُ
Na Thamud na kaumu Lut'i na watu wa Machakani. Hayo ndiyo makundi.
14إِن كُلٌّ إِلَّا كَذَّبَ الرُّسُلَ فَحَقَّ عِقَابِ
Hao wote waliwakadhibisha Mitume; basi wakastahiki adhabu yangu.
15وَمَا يَنظُرُ هَٰؤُلَاءِ إِلَّا صَيْحَةً وَاحِدَةً مَّا لَهَا مِن فَوَاقٍ
Na hawa hawangojei ila ukelele mmoja tu usio na muda.
16وَقَالُوا رَبَّنَا عَجِّل لَّنَا قِطَّنَا قَبْلَ يَوْمِ الْحِسَابِ
Na wao husema: Mola wetu Mlezi! Tuletee upesi sehemu yetu ya adhabu kabla ya Siku ya Hisabu.
17اصْبِرْ عَلَىٰ مَا يَقُولُونَ وَاذْكُرْ عَبْدَنَا دَاوُودَ ذَا الْأَيْدِ ۖ إِنَّهُ أَوَّابٌ
Subiri kwa hayo wayasemayo, na umkumbuke mja wetu Daudi, mwenye nguvu. Hakika yeye alikuwa mwingi wa kutubia.
SadFaharasa ya Qurani
88Aya
MakkaRevelation
15Aya

Tafsiri — Sad 15

Sura Sad Aya 15 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na hawa hawangojei ila ukelele mmoja tu usio na muda.

Sura Aya 15/88 — Sad ص (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sad Sikiliza, Sad Tafsiri, Sad mp3, Sad pdf. Aya 13–17. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema