Sad · 49/88
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sad
هَٰذَا ذِكْرٌ ۚ وَإِنَّ لِلْمُتَّقِينَ لَحُسْنَ مَآبٍ ۝٤٩
Haazaa zikr; wa inna lilmuttaqeena lahusna ma aab
📖 Kwa Kiswahili
Huu ni ukumbusho. Na hakika wachamngu wana marudio mazuri.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 47-51 — Sad

47وَإِنَّهُمْ عِندَنَا لَمِنَ الْمُصْطَفَيْنَ الْأَخْيَارِ
Na hakika wao kwetu sisi ni wateuliwa walio bora.
48وَاذْكُرْ إِسْمَاعِيلَ وَالْيَسَعَ وَذَا الْكِفْلِ ۖ وَكُلٌّ مِّنَ الْأَخْيَارِ
Na mkumbuke Ismail na Alyasaa na Dhulkifli, na wote hao ni katika walio bora.
49هَٰذَا ذِكْرٌ ۚ وَإِنَّ لِلْمُتَّقِينَ لَحُسْنَ مَآبٍ
Huu ni ukumbusho. Na hakika wachamngu wana marudio mazuri.
50جَنَّاتِ عَدْنٍ مُّفَتَّحَةً لَّهُمُ الْأَبْوَابُ
Bustani za milele zitazo funguliwa milango yao kwa ajili yao.
51مُتَّكِئِينَ فِيهَا يَدْعُونَ فِيهَا بِفَاكِهَةٍ كَثِيرَةٍ وَشَرَابٍ
Humo wataegemea matakia, wawe wanaagiza humo matunda mengi na vinywaji.
SadFaharasa ya Qurani
88Aya
MakkaRevelation
49Aya

Tafsiri — Sad 49

Sura Sad Aya 49 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Huu ni ukumbusho. Na hakika wachamngu wana marudio mazuri.

Sura Aya 49/88 — Sad ص (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sad Sikiliza, Sad Tafsiri, Sad mp3, Sad pdf. Aya 47–51. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema