Sad · 50/88
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sad
جَنَّاتِ عَدْنٍ مُّفَتَّحَةً لَّهُمُ الْأَبْوَابُ ۝٥٠
Jannaati `adnim mufat tahatal lahumul abwaab
📖 Kwa Kiswahili
Bustani za milele zitazo funguliwa milango yao kwa ajili yao.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 48-52 — Sad

48وَاذْكُرْ إِسْمَاعِيلَ وَالْيَسَعَ وَذَا الْكِفْلِ ۖ وَكُلٌّ مِّنَ الْأَخْيَارِ
Na mkumbuke Ismail na Alyasaa na Dhulkifli, na wote hao ni katika walio bora.
49هَٰذَا ذِكْرٌ ۚ وَإِنَّ لِلْمُتَّقِينَ لَحُسْنَ مَآبٍ
Huu ni ukumbusho. Na hakika wachamngu wana marudio mazuri.
50جَنَّاتِ عَدْنٍ مُّفَتَّحَةً لَّهُمُ الْأَبْوَابُ
Bustani za milele zitazo funguliwa milango yao kwa ajili yao.
51مُتَّكِئِينَ فِيهَا يَدْعُونَ فِيهَا بِفَاكِهَةٍ كَثِيرَةٍ وَشَرَابٍ
Humo wataegemea matakia, wawe wanaagiza humo matunda mengi na vinywaji.
52۞ وَعِندَهُمْ قَاصِرَاتُ الطَّرْفِ أَتْرَابٌ
Na pamoja nao wake zao wenye kutuliza macho, hirimu zao.
SadFaharasa ya Qurani
88Aya
MakkaRevelation
50Aya

Tafsiri — Sad 50

Sura Sad Aya 50 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Bustani za milele zitazo funguliwa milango yao kwa ajili yao.

Sura Aya 50/88 — Sad ص (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sad Sikiliza, Sad Tafsiri, Sad mp3, Sad pdf. Aya 48–52. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema