Sad · 48/88
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sad
وَاذْكُرْ إِسْمَاعِيلَ وَالْيَسَعَ وَذَا الْكِفْلِ ۖ وَكُلٌّ مِّنَ الْأَخْيَارِ ۝٤٨
Wazkur Ismaa`eela wal Yasa`a wa Zal-Kifli wa kullum minal akhyaar
📖 Kwa Kiswahili
Na mkumbuke Ismail na Alyasaa na Dhulkifli, na wote hao ni katika walio bora.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 46-50 — Sad

46إِنَّا أَخْلَصْنَاهُم بِخَالِصَةٍ ذِكْرَى الدَّارِ
Sisi tumewakhusisha wao kwa sifa ya ukumbusho wa Akhera.
47وَإِنَّهُمْ عِندَنَا لَمِنَ الْمُصْطَفَيْنَ الْأَخْيَارِ
Na hakika wao kwetu sisi ni wateuliwa walio bora.
48وَاذْكُرْ إِسْمَاعِيلَ وَالْيَسَعَ وَذَا الْكِفْلِ ۖ وَكُلٌّ مِّنَ الْأَخْيَارِ
Na mkumbuke Ismail na Alyasaa na Dhulkifli, na wote hao ni katika walio bora.
49هَٰذَا ذِكْرٌ ۚ وَإِنَّ لِلْمُتَّقِينَ لَحُسْنَ مَآبٍ
Huu ni ukumbusho. Na hakika wachamngu wana marudio mazuri.
50جَنَّاتِ عَدْنٍ مُّفَتَّحَةً لَّهُمُ الْأَبْوَابُ
Bustani za milele zitazo funguliwa milango yao kwa ajili yao.
SadFaharasa ya Qurani
88Aya
MakkaRevelation
48Aya

Tafsiri — Sad 48

Sura Sad Aya 48 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na mkumbuke Ismail na Alyasaa na Dhulkifli, na wote hao…

Sura Aya 48/88 — Sad ص (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sad Sikiliza, Sad Tafsiri, Sad mp3, Sad pdf. Aya 46–50. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema