Sad · 51/88
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sad
مُتَّكِئِينَ فِيهَا يَدْعُونَ فِيهَا بِفَاكِهَةٍ كَثِيرَةٍ وَشَرَابٍ ۝٥١
Muttaki`eena feehaa yad`oona feehaa bifaakihatin kaseeratinw wa sharaab
📖 Kwa Kiswahili
Humo wataegemea matakia, wawe wanaagiza humo matunda mengi na vinywaji.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 49-53 — Sad

49هَٰذَا ذِكْرٌ ۚ وَإِنَّ لِلْمُتَّقِينَ لَحُسْنَ مَآبٍ
Huu ni ukumbusho. Na hakika wachamngu wana marudio mazuri.
50جَنَّاتِ عَدْنٍ مُّفَتَّحَةً لَّهُمُ الْأَبْوَابُ
Bustani za milele zitazo funguliwa milango yao kwa ajili yao.
51مُتَّكِئِينَ فِيهَا يَدْعُونَ فِيهَا بِفَاكِهَةٍ كَثِيرَةٍ وَشَرَابٍ
Humo wataegemea matakia, wawe wanaagiza humo matunda mengi na vinywaji.
52۞ وَعِندَهُمْ قَاصِرَاتُ الطَّرْفِ أَتْرَابٌ
Na pamoja nao wake zao wenye kutuliza macho, hirimu zao.
53هَٰذَا مَا تُوعَدُونَ لِيَوْمِ الْحِسَابِ
Haya ndiyo mliyo ahidiwa kwa Siku ya Hisabu.
SadFaharasa ya Qurani
88Aya
MakkaRevelation
51Aya

Tafsiri — Sad 51

Sura Sad Aya 51 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Humo wataegemea matakia, wawe wanaagiza humo matunda mengi na vinywaji.

Sura Aya 51/88 — Sad ص (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sad Sikiliza, Sad Tafsiri, Sad mp3, Sad pdf. Aya 49–53. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema