Sad · 59/88
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sad
هَٰذَا فَوْجٌ مُّقْتَحِمٌ مَّعَكُمْ ۖ لَا مَرْحَبًا بِهِمْ ۚ إِنَّهُمْ صَالُو النَّارِ ۝٥٩
Haazaa fawjum muqtahimum ma`akum laa marhabam bihim; innahum saalun Naar
📖 Kwa Kiswahili
Hili ndilo kundi litakalo ingia pamoja nanyi. Hapana makaribisho mema kwao. Hakika hao wanaingia Motoni.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 57-61 — Sad

57هَٰذَا فَلْيَذُوقُوهُ حَمِيمٌ وَغَسَّاقٌ
Ndio hivi! Basi na wayaonje maji ya moto na ya usaha!
58وَآخَرُ مِن شَكْلِهِ أَزْوَاجٌ
Na adhabu nyenginezo za namna hii.
59هَٰذَا فَوْجٌ مُّقْتَحِمٌ مَّعَكُمْ ۖ لَا مَرْحَبًا بِهِمْ ۚ إِنَّهُمْ صَالُو النَّارِ
Hili ndilo kundi litakalo ingia pamoja nanyi. Hapana makaribisho mema kwao. Hakika hao wanaingia Motoni.
60قَالُوا بَلْ أَنتُمْ لَا مَرْحَبًا بِكُمْ ۖ أَنتُمْ قَدَّمْتُمُوهُ لَنَا ۖ فَبِئْسَ الْقَرَارُ
Waseme: Lakini nyinyi! Hamna mapokezi mazuri! Nyinyi ndio mlio tusabibisha haya, napo ni pahala paovu kabisa!
61قَالُوا رَبَّنَا مَن قَدَّمَ لَنَا هَٰذَا فَزِدْهُ عَذَابًا ضِعْفًا فِي النَّارِ
Waseme: Mola wetu Mlezi! Aliye tusabibisha haya mzidishie adhabu mara mbili Motoni.
SadFaharasa ya Qurani
88Aya
MakkaRevelation
59Aya

Tafsiri — Sad 59

Sura Sad Aya 59 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hili ndilo kundi litakalo ingia pamoja nanyi. Hapana makaribisho mema…

Sura Aya 59/88 — Sad ص (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sad Sikiliza, Sad Tafsiri, Sad mp3, Sad pdf. Aya 57–61. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema