Ad-Dukhan · 29/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
فَمَا بَكَتْ عَلَيْهِمُ السَّمَاءُ وَالْأَرْضُ وَمَا كَانُوا مُنظَرِينَ ۝٢٩
Famaa bakat `alaihimus samaaa`u wal ardu wa maa kaanoo munzareen
📖 Kwa Kiswahili
La mbingu wala ardhi hazikuwalilia, wala hawakupewa muhula.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 27-31 — Ad-Dukhan

27وَنَعْمَةٍ كَانُوا فِيهَا فَاكِهِينَ
Na neema walizo kuwa wakijistareheshea!
28كَذَٰلِكَ ۖ وَأَوْرَثْنَاهَا قَوْمًا آخَرِينَ
Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.
29فَمَا بَكَتْ عَلَيْهِمُ السَّمَاءُ وَالْأَرْضُ وَمَا كَانُوا مُنظَرِينَ
La mbingu wala ardhi hazikuwalilia, wala hawakupewa muhula.
30وَلَقَدْ نَجَّيْنَا بَنِي إِسْرَائِيلَ مِنَ الْعَذَابِ الْمُهِينِ
Na bila ya shaka tuliwaokoa Wana wa Israili katika adhabu ya kuwadhalilisha,
31مِن فِرْعَوْنَ ۚ إِنَّهُ كَانَ عَالِيًا مِّنَ الْمُسْرِفِينَ
Ya Firauni. Hakika yeye alikuwa jeuri katika wenye kupindukia mipaka.
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
29Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 29

Sura Ad-Dukhan Aya 29 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : La mbingu wala ardhi hazikuwalilia, wala hawakupewa muhula.

Sura Aya 29/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 27–31. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema