Ad-Dukhan · 30/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
وَلَقَدْ نَجَّيْنَا بَنِي إِسْرَائِيلَ مِنَ الْعَذَابِ الْمُهِينِ ۝٣٠
Wa laqad najjainaa Baneee Israaa`eela minal`azaabil muheen
📖 Kwa Kiswahili
Na bila ya shaka tuliwaokoa Wana wa Israili katika adhabu ya kuwadhalilisha,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 28-32 — Ad-Dukhan

28كَذَٰلِكَ ۖ وَأَوْرَثْنَاهَا قَوْمًا آخَرِينَ
Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.
29فَمَا بَكَتْ عَلَيْهِمُ السَّمَاءُ وَالْأَرْضُ وَمَا كَانُوا مُنظَرِينَ
La mbingu wala ardhi hazikuwalilia, wala hawakupewa muhula.
30وَلَقَدْ نَجَّيْنَا بَنِي إِسْرَائِيلَ مِنَ الْعَذَابِ الْمُهِينِ
Na bila ya shaka tuliwaokoa Wana wa Israili katika adhabu ya kuwadhalilisha,
31مِن فِرْعَوْنَ ۚ إِنَّهُ كَانَ عَالِيًا مِّنَ الْمُسْرِفِينَ
Ya Firauni. Hakika yeye alikuwa jeuri katika wenye kupindukia mipaka.
32وَلَقَدِ اخْتَرْنَاهُمْ عَلَىٰ عِلْمٍ عَلَى الْعَالَمِينَ
Na tuliwakhiari kwa ujuzi wetu kuliko walimwengu wenginewe.
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
30Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 30

Sura Ad-Dukhan Aya 30 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na bila ya shaka tuliwaokoa Wana wa Israili katika adhabu…

Sura Aya 30/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 28–32. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema