Ad-Dukhan · 36/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
فَأْتُوا بِآبَائِنَا إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ ۝٣٦
Faatoo bi aabaaa`inaaa inkuntum saadiqeen
📖 Kwa Kiswahili
Basi warudisheni baba zetu, ikiwa nyinyi mnasema kweli.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 34-38 — Ad-Dukhan

34إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَيَقُولُونَ
Hakika hawa wanasema:
35إِنْ هِيَ إِلَّا مَوْتَتُنَا الْأُولَىٰ وَمَا نَحْنُ بِمُنشَرِينَ
Hapana ila kufa kwetu mara ya kwanza tu, wala sisi hatufufuliwi.
36فَأْتُوا بِآبَائِنَا إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ
Basi warudisheni baba zetu, ikiwa nyinyi mnasema kweli.
37أَهُمْ خَيْرٌ أَمْ قَوْمُ تُبَّعٍ وَالَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ ۚ أَهْلَكْنَاهُمْ ۖ إِنَّهُمْ كَانُوا مُجْرِمِينَ
Je! Ni wao bora au watu wa Tubbaa' na walio kuwa kabla yao? Tuliwaangamiza. Hakika hao walikuwa wakosefu.
38وَمَا خَلَقْنَا السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا لَاعِبِينَ
Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyomo baina yake kwa mchezo.
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
36Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 36

Sura Ad-Dukhan Aya 36 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi warudisheni baba zetu, ikiwa nyinyi mnasema kweli.

Sura Aya 36/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 34–38. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema