Ad-Dukhan · 35/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
إِنْ هِيَ إِلَّا مَوْتَتُنَا الْأُولَىٰ وَمَا نَحْنُ بِمُنشَرِينَ ۝٣٥
In hiya illaa mawtatunal oolaa wa maa nahnu bimun shareen
📖 Kwa Kiswahili
Hapana ila kufa kwetu mara ya kwanza tu, wala sisi hatufufuliwi.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 33-37 — Ad-Dukhan

33وَآتَيْنَاهُم مِّنَ الْآيَاتِ مَا فِيهِ بَلَاءٌ مُّبِينٌ
Na tukawapa katika ishara zenye majaribio yaliyo wazi.
34إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَيَقُولُونَ
Hakika hawa wanasema:
35إِنْ هِيَ إِلَّا مَوْتَتُنَا الْأُولَىٰ وَمَا نَحْنُ بِمُنشَرِينَ
Hapana ila kufa kwetu mara ya kwanza tu, wala sisi hatufufuliwi.
36فَأْتُوا بِآبَائِنَا إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ
Basi warudisheni baba zetu, ikiwa nyinyi mnasema kweli.
37أَهُمْ خَيْرٌ أَمْ قَوْمُ تُبَّعٍ وَالَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ ۚ أَهْلَكْنَاهُمْ ۖ إِنَّهُمْ كَانُوا مُجْرِمِينَ
Je! Ni wao bora au watu wa Tubbaa' na walio kuwa kabla yao? Tuliwaangamiza. Hakika hao walikuwa wakosefu.
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
35Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 35

Sura Ad-Dukhan Aya 35 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hapana ila kufa kwetu mara ya kwanza tu, wala sisi…

Sura Aya 35/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 33–37. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema