Ad-Dukhan · 40/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
إِنَّ يَوْمَ الْفَصْلِ مِيقَاتُهُمْ أَجْمَعِينَ ۝٤٠
Inna yawmal fasli meeqaatuhum ajma`een
📖 Kwa Kiswahili
Hakika siku ya Uamuzi ni wakati ulio wekwa kwa wao wote.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 38-42 — Ad-Dukhan

38وَمَا خَلَقْنَا السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا لَاعِبِينَ
Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyomo baina yake kwa mchezo.
39مَا خَلَقْنَاهُمَا إِلَّا بِالْحَقِّ وَلَٰكِنَّ أَكْثَرَهُمْ لَا يَعْلَمُونَ
Hatukuviumba hivyo ila kwa Haki, lakini wengi wao hawajui.
40إِنَّ يَوْمَ الْفَصْلِ مِيقَاتُهُمْ أَجْمَعِينَ
Hakika siku ya Uamuzi ni wakati ulio wekwa kwa wao wote.
41يَوْمَ لَا يُغْنِي مَوْلًى عَن مَّوْلًى شَيْئًا وَلَا هُمْ يُنصَرُونَ
Siku ambayo rafiki hatamfaa rafiki yake kwa chochote, wala hawatanusuriwa.
42إِلَّا مَن رَّحِمَ اللَّهُ ۚ إِنَّهُ هُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Isipo kuwa atakaye mrehemu Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
40Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 40

Sura Ad-Dukhan Aya 40 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika siku ya Uamuzi ni wakati ulio wekwa kwa wao…

Sura Aya 40/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 38–42. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema