Ad-Dukhan · 48/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
ثُمَّ صُبُّوا فَوْقَ رَأْسِهِ مِنْ عَذَابِ الْحَمِيمِ ۝٤٨
Summa subboo fawqa raasihee min `azaabil hameem
📖 Kwa Kiswahili
Kisha mmwagieni juu ya kichwa chake adhabu ya maji yanayo chemka.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 46-50 — Ad-Dukhan

46كَغَلْيِ الْحَمِيمِ
Kama kutokota kwa maji ya moto.
47خُذُوهُ فَاعْتِلُوهُ إِلَىٰ سَوَاءِ الْجَحِيمِ
(Itasemwa:) Mkamateni na mtupeni katikati ya Jahannamu!
48ثُمَّ صُبُّوا فَوْقَ رَأْسِهِ مِنْ عَذَابِ الْحَمِيمِ
Kisha mmwagieni juu ya kichwa chake adhabu ya maji yanayo chemka.
49ذُقْ إِنَّكَ أَنتَ الْعَزِيزُ الْكَرِيمُ
Onja! Ati wewe ndiye mwenye nguvu, mtukufu!
50إِنَّ هَٰذَا مَا كُنتُم بِهِ تَمْتَرُونَ
Hakika haya ndiyo mliyo kuwa mkiyatilia shaka.
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
48Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 48

Sura Ad-Dukhan Aya 48 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kisha mmwagieni juu ya kichwa chake adhabu ya maji yanayo…

Sura Aya 48/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 46–50. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema