Ad-Dukhan · 47/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
خُذُوهُ فَاعْتِلُوهُ إِلَىٰ سَوَاءِ الْجَحِيمِ ۝٤٧
Khuzoohu fa`tiloohu ilaa sawaaa`il Jaheem
📖 Kwa Kiswahili
(Itasemwa:) Mkamateni na mtupeni katikati ya Jahannamu!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 45-49 — Ad-Dukhan

45كَالْمُهْلِ يَغْلِي فِي الْبُطُونِ
Kama shaba iliyo yayushwa, hutokota matumboni
46كَغَلْيِ الْحَمِيمِ
Kama kutokota kwa maji ya moto.
47خُذُوهُ فَاعْتِلُوهُ إِلَىٰ سَوَاءِ الْجَحِيمِ
(Itasemwa:) Mkamateni na mtupeni katikati ya Jahannamu!
48ثُمَّ صُبُّوا فَوْقَ رَأْسِهِ مِنْ عَذَابِ الْحَمِيمِ
Kisha mmwagieni juu ya kichwa chake adhabu ya maji yanayo chemka.
49ذُقْ إِنَّكَ أَنتَ الْعَزِيزُ الْكَرِيمُ
Onja! Ati wewe ndiye mwenye nguvu, mtukufu!
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
47Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 47

Sura Ad-Dukhan Aya 47 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : (Itasemwa:) Mkamateni na mtupeni katikati ya Jahannamu!

Sura Aya 47/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 45–49. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema