Ad-Dukhan · 49/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
ذُقْ إِنَّكَ أَنتَ الْعَزِيزُ الْكَرِيمُ ۝٤٩
Zuq innaka antal `azeezul kareem
📖 Kwa Kiswahili
Onja! Ati wewe ndiye mwenye nguvu, mtukufu!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 47-51 — Ad-Dukhan

47خُذُوهُ فَاعْتِلُوهُ إِلَىٰ سَوَاءِ الْجَحِيمِ
(Itasemwa:) Mkamateni na mtupeni katikati ya Jahannamu!
48ثُمَّ صُبُّوا فَوْقَ رَأْسِهِ مِنْ عَذَابِ الْحَمِيمِ
Kisha mmwagieni juu ya kichwa chake adhabu ya maji yanayo chemka.
49ذُقْ إِنَّكَ أَنتَ الْعَزِيزُ الْكَرِيمُ
Onja! Ati wewe ndiye mwenye nguvu, mtukufu!
50إِنَّ هَٰذَا مَا كُنتُم بِهِ تَمْتَرُونَ
Hakika haya ndiyo mliyo kuwa mkiyatilia shaka.
51إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي مَقَامٍ أَمِينٍ
Hakika wachamngu watakuwa katika mahali pa amani,
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
49Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 49

Sura Ad-Dukhan Aya 49 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Onja! Ati wewe ndiye mwenye nguvu, mtukufu!

Sura Aya 49/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 47–51. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema