Muhammad · 6/38
Tafsiri Uandishi wa sauti — Muhammad
وَيُدْخِلُهُمُ الْجَنَّةَ عَرَّفَهَا لَهُمْ ۝٦
Wa yudkhiluhumul jannata `arrafahaa lahum
📖 Kwa Kiswahili
Na atawaingiza katika Pepo aliyo wajuulisha.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 4-8 — Muhammad

4فَإِذَا لَقِيتُمُ الَّذِينَ كَفَرُوا فَضَرْبَ الرِّقَابِ حَتَّىٰ إِذَا أَثْخَنتُمُوهُمْ فَشُدُّوا الْوَثَاقَ فَإِمَّا مَنًّا بَعْدُ وَإِمَّا فِدَاءً حَتَّىٰ تَضَعَ الْحَرْبُ أَوْزَارَهَا ۚ ذَٰلِكَ وَلَوْ يَشَاءُ اللَّهُ لَانتَصَرَ مِنْهُمْ وَلَٰكِن لِّيَبْلُوَ بَعْضَكُم بِبَعْضٍ ۗ وَالَّذِينَ قُتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ فَلَن يُضِلَّ أَعْمَالَهُمْ
Basi mnapo wakuta walio kufuru wapigeni shingoni mwao, mpaka mkiwadhoofisha wafungeni pingu. Tena waachilieni kwa hisani au wajikomboe, mpaka vita vipoe. Ndio hivyo. Na lau angeli taka Mwenyezi Mungu angeli washinda mwenyewe, lakini haya ni kwa sababu akutieni mitihani nyinyi kwa nyinyi. Na walio uliwa katika njia ya Mwenyezi Mungu hatazipoteza a'mali zao.
5سَيَهْدِيهِمْ وَيُصْلِحُ بَالَهُمْ
Atawaongoza na awatengezee hali yao.
6وَيُدْخِلُهُمُ الْجَنَّةَ عَرَّفَهَا لَهُمْ
Na atawaingiza katika Pepo aliyo wajuulisha.
7يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِن تَنصُرُوا اللَّهَ يَنصُرْكُمْ وَيُثَبِّتْ أَقْدَامَكُمْ
Enyi mlio amini! Mkimnusuru Mwenyezi Mungu naye atakunusuruni na ataithibitisha miguu yenu.
8وَالَّذِينَ كَفَرُوا فَتَعْسًا لَّهُمْ وَأَضَلَّ أَعْمَالَهُمْ
Na walio kufuru, basi kwao ni maangamizo, na atavipoteza vitendo vyao.
MuhammadFaharasa ya Qurani
38Aya
MadinaRevelation
6Aya

Tafsiri — Muhammad 6

Sura Muhammad Aya 6 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na atawaingiza katika Pepo aliyo wajuulisha.

Sura Aya 6/38 — Muhammad محمد (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Muhammad Sikiliza, Muhammad Tafsiri, Muhammad mp3, Muhammad pdf. Aya 4–8. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema