Adh-Dhariyat · 31/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
۞ قَالَ فَمَا خَطْبُكُمْ أَيُّهَا الْمُرْسَلُونَ ۝٣١
Qaala famaa khatbukum ayyuhal mursaloon
📖 Kwa Kiswahili
AKASEMA: Basi ujumbe wenu ni nini, enyi mlio tumwa?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 29-33 — Adh-Dhariyat

29فَأَقْبَلَتِ امْرَأَتُهُ فِي صَرَّةٍ فَصَكَّتْ وَجْهَهَا وَقَالَتْ عَجُوزٌ عَقِيمٌ
Ndipo mkewe akawaelekea, na huku anasema na akijipiga usoni kwa mastaajabu, na kusema: Mimi ni kikongwe na tasa!
30قَالُوا كَذَٰلِكِ قَالَ رَبُّكِ ۖ إِنَّهُ هُوَ الْحَكِيمُ الْعَلِيمُ
Wakasema: Ndivyo vivyo hivyo alivyo sema Mola wako Mlezi. Hakika Yeye ni Mwenye hikima na Mwenye kujua.
31۞ قَالَ فَمَا خَطْبُكُمْ أَيُّهَا الْمُرْسَلُونَ
AKASEMA: Basi ujumbe wenu ni nini, enyi mlio tumwa?
32قَالُوا إِنَّا أُرْسِلْنَا إِلَىٰ قَوْمٍ مُّجْرِمِينَ
Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwa watu wakosefu,
33لِنُرْسِلَ عَلَيْهِمْ حِجَارَةً مِّن طِينٍ
Tuwatupie mawe ya udongo,
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
31Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 31

Sura Adh-Dhariyat Aya 31 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : AKASEMA: Basi ujumbe wenu ni nini, enyi mlio tumwa?

Sura Aya 31/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 29–33. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema