Adh-Dhariyat · 36/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
فَمَا وَجَدْنَا فِيهَا غَيْرَ بَيْتٍ مِّنَ الْمُسْلِمِينَ ۝٣٦
Famaa wajadnaa feehaa ghaira baitim minal muslimeen
📖 Kwa Kiswahili
Lakini hatukupata humo ila nyumba moja tu yenye Waislamu!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 34-38 — Adh-Dhariyat

34مُّسَوَّمَةً عِندَ رَبِّكَ لِلْمُسْرِفِينَ
Yaliyo tiwa alama kutoka kwa Mola wako Mlezi kwa ajili ya wanao pindukia mipaka.
35فَأَخْرَجْنَا مَن كَانَ فِيهَا مِنَ الْمُؤْمِنِينَ
Kwa hivyo tutawatoa katika hao wale walio amini.
36فَمَا وَجَدْنَا فِيهَا غَيْرَ بَيْتٍ مِّنَ الْمُسْلِمِينَ
Lakini hatukupata humo ila nyumba moja tu yenye Waislamu!
37وَتَرَكْنَا فِيهَا آيَةً لِّلَّذِينَ يَخَافُونَ الْعَذَابَ الْأَلِيمَ
Na tukaacha humo Ishara kwa ajili ya wanao iogopa adhabu chungu.
38وَفِي مُوسَىٰ إِذْ أَرْسَلْنَاهُ إِلَىٰ فِرْعَوْنَ بِسُلْطَانٍ مُّبِينٍ
Na katika khabari za Musa, tulipo mtuma kwa Firauni na hoja wazi.
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
36Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 36

Sura Adh-Dhariyat Aya 36 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Lakini hatukupata humo ila nyumba moja tu yenye Waislamu!

Sura Aya 36/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 34–38. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Wednesday, August 19, 2026

Usitusahau katika dua zako njema