Adh-Dhariyat · 52/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
كَذَٰلِكَ مَا أَتَى الَّذِينَ مِن قَبْلِهِم مِّن رَّسُولٍ إِلَّا قَالُوا سَاحِرٌ أَوْ مَجْنُونٌ ۝٥٢
Kazaalika maaa atal lazeena min qablihim mir Rasoolin illaa qaaloo saahirun aw majnoon
📖 Kwa Kiswahili
Basi ndio hivyo hivyo, hakuwajia kabla yao Mtume ila walisema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 50-54 — Adh-Dhariyat

50فَفِرُّوا إِلَى اللَّهِ ۖ إِنِّي لَكُم مِّنْهُ نَذِيرٌ مُّبِينٌ
Basi kimbilieni kwa Mwenyezi Mungu, hakika mimi ni mwonyaji kwenu wa kubainisha nitokae kwake.
51وَلَا تَجْعَلُوا مَعَ اللَّهِ إِلَٰهًا آخَرَ ۖ إِنِّي لَكُم مِّنْهُ نَذِيرٌ مُّبِينٌ
Wala msifanye kuwa kuna mungu mwengine pamoja na Mwenyezi Mungu. Hakika mimi ni mwonyaji kwenu wa kubainisha nitokae kwake.
52كَذَٰلِكَ مَا أَتَى الَّذِينَ مِن قَبْلِهِم مِّن رَّسُولٍ إِلَّا قَالُوا سَاحِرٌ أَوْ مَجْنُونٌ
Basi ndio hivyo hivyo, hakuwajia kabla yao Mtume ila walisema: Huyu ni mchawi au mwendawazimu.
53أَتَوَاصَوْا بِهِ ۚ بَلْ هُمْ قَوْمٌ طَاغُونَ
Je! Wameambizana kwa haya? Bali hawa ni watu waasi.
54فَتَوَلَّ عَنْهُمْ فَمَا أَنتَ بِمَلُومٍ
Basi waachilie mbali, nawe hulaumiwi.
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
52Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 52

Sura Adh-Dhariyat Aya 52 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi ndio hivyo hivyo, hakuwajia kabla yao Mtume ila walisema:…

Sura Aya 52/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 50–54. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema