An-Najm · 60/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
وَتَضْحَكُونَ وَلَا تَبْكُونَ ۝٦٠
Wa tadhakoona wa laa tabkoon
📖 Kwa Kiswahili
Na mnacheka, wala hamlii?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 58-62 — An-Najm

58لَيْسَ لَهَا مِن دُونِ اللَّهِ كَاشِفَةٌ
Hapana wa kukifichua isipo kuwa Mwenyezi Mungu.
59أَفَمِنْ هَٰذَا الْحَدِيثِ تَعْجَبُونَ
Je! Mnayastaajabia maneno haya?
60وَتَضْحَكُونَ وَلَا تَبْكُونَ
Na mnacheka, wala hamlii?
61وَأَنتُمْ سَامِدُونَ
Nanyi mmeghafilika?
62فَاسْجُدُوا لِلَّهِ وَاعْبُدُوا ۩
Basi msujudieni Mwenyezi Mungu, na mumuabudu.
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
60Aya

Tafsiri — An-Najm 60

Sura An-Najm Aya 60 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na mnacheka, wala hamlii?

Sura Aya 60/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 58–62. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema