Ar-Rahman · 21/78
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ar-Rahman
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ۝٢١
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
📖 Kwa Kiswahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 19-23 — Ar-Rahman

19مَرَجَ الْبَحْرَيْنِ يَلْتَقِيَانِ
Anaziendesha bahari mbili zikutane;
20بَيْنَهُمَا بَرْزَخٌ لَّا يَبْغِيَانِ
Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane.
21فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
22يَخْرُجُ مِنْهُمَا اللُّؤْلُؤُ وَالْمَرْجَانُ
Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na marijani.
23فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Ar-RahmanFaharasa ya Qurani
78Aya
MadinaRevelation
21Aya

Tafsiri — Ar-Rahman 21

Sura Ar-Rahman Aya 21 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo…

Sura Aya 21/78 — Ar-Rahman الرحمن (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ar-Rahman Sikiliza, Ar-Rahman Tafsiri, Ar-Rahman mp3, Ar-Rahman pdf. Aya 19–23. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema