Ar-Rahman · 20/78
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ar-Rahman
بَيْنَهُمَا بَرْزَخٌ لَّا يَبْغِيَانِ ۝٢٠
Bainahumaa barzakhul laa yabghiyaan
📖 Kwa Kiswahili
Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 18-22 — Ar-Rahman

18فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
19مَرَجَ الْبَحْرَيْنِ يَلْتَقِيَانِ
Anaziendesha bahari mbili zikutane;
20بَيْنَهُمَا بَرْزَخٌ لَّا يَبْغِيَانِ
Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane.
21فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
22يَخْرُجُ مِنْهُمَا اللُّؤْلُؤُ وَالْمَرْجَانُ
Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na marijani.
Ar-RahmanFaharasa ya Qurani
78Aya
MadinaRevelation
20Aya

Tafsiri — Ar-Rahman 20

Sura Ar-Rahman Aya 20 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane.

Sura Aya 20/78 — Ar-Rahman الرحمن (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ar-Rahman Sikiliza, Ar-Rahman Tafsiri, Ar-Rahman mp3, Ar-Rahman pdf. Aya 18–22. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema