Al-Qalam · 8/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
فَلَا تُطِعِ الْمُكَذِّبِينَ ۝٨
Falaa tuti`il mukazzibeen
📖 Kwa Kiswahili
Basi usiwat'ii wanao kadhibisha.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 6-10 — Al-Qalam

6بِأَييِّكُمُ الْمَفْتُونُ
Ni nani kati yenu aliye pandwa na wazimu.
7إِنَّ رَبَّكَ هُوَ أَعْلَمُ بِمَن ضَلَّ عَن سَبِيلِهِ وَهُوَ أَعْلَمُ بِالْمُهْتَدِينَ
Hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye ajuaye zaidi nani aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka.
8فَلَا تُطِعِ الْمُكَذِّبِينَ
Basi usiwat'ii wanao kadhibisha.
9وَدُّوا لَوْ تُدْهِنُ فَيُدْهِنُونَ
Wanatamani lau unge lainisha ili nao wakulainishie.
10وَلَا تُطِعْ كُلَّ حَلَّافٍ مَّهِينٍ
Wala usimt'ii kila mwingi wa kuapa wa kudharauliwa,
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
8Aya

Tafsiri — Al-Qalam 8

Sura Al-Qalam Aya 8 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi usiwat'ii wanao kadhibisha.

Sura Aya 8/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 6–10. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema