Al-Haqqa · 48/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
وَإِنَّهُ لَتَذْكِرَةٌ لِّلْمُتَّقِينَ ۝٤٨
Wa innahoo latazkiratul lilmuttaqeen
📖 Kwa Kiswahili
Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 46-50 — Al-Haqqa

46ثُمَّ لَقَطَعْنَا مِنْهُ الْوَتِينَ
Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
47فَمَا مِنكُم مِّنْ أَحَدٍ عَنْهُ حَاجِزِينَ
Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.
48وَإِنَّهُ لَتَذْكِرَةٌ لِّلْمُتَّقِينَ
Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.
49وَإِنَّا لَنَعْلَمُ أَنَّ مِنكُم مُّكَذِّبِينَ
Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanao kadhibisha.
50وَإِنَّهُ لَحَسْرَةٌ عَلَى الْكَافِرِينَ
Na hakika bila ya shaka itakuwa ni majuto kwa wanao kataa.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
48Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 48

Sura Al-Haqqa Aya 48 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.

Sura Aya 48/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 46–50. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema