Al-Haqqa · 49/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
وَإِنَّا لَنَعْلَمُ أَنَّ مِنكُم مُّكَذِّبِينَ ۝٤٩
Wa inna lana`lamu anna minkum mukazzibeen
📖 Kwa Kiswahili
Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanao kadhibisha.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 47-51 — Al-Haqqa

47فَمَا مِنكُم مِّنْ أَحَدٍ عَنْهُ حَاجِزِينَ
Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.
48وَإِنَّهُ لَتَذْكِرَةٌ لِّلْمُتَّقِينَ
Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.
49وَإِنَّا لَنَعْلَمُ أَنَّ مِنكُم مُّكَذِّبِينَ
Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanao kadhibisha.
50وَإِنَّهُ لَحَسْرَةٌ عَلَى الْكَافِرِينَ
Na hakika bila ya shaka itakuwa ni majuto kwa wanao kataa.
51وَإِنَّهُ لَحَقُّ الْيَقِينِ
Na hakika hii bila ya shaka ni haki ya yakini.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
49Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 49

Sura Al-Haqqa Aya 49 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwamba miongoni mwenu…

Sura Aya 49/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 47–51. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema