Al-Haqqa · 47/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
فَمَا مِنكُم مِّنْ أَحَدٍ عَنْهُ حَاجِزِينَ ۝٤٧
Famaa minkum min ahadin`anhu haajizeen
📖 Kwa Kiswahili
Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 45-49 — Al-Haqqa

45لَأَخَذْنَا مِنْهُ بِالْيَمِينِ
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
46ثُمَّ لَقَطَعْنَا مِنْهُ الْوَتِينَ
Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
47فَمَا مِنكُم مِّنْ أَحَدٍ عَنْهُ حَاجِزِينَ
Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.
48وَإِنَّهُ لَتَذْكِرَةٌ لِّلْمُتَّقِينَ
Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.
49وَإِنَّا لَنَعْلَمُ أَنَّ مِنكُم مُّكَذِّبِينَ
Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanao kadhibisha.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
47Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 47

Sura Al-Haqqa Aya 47 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.

Sura Aya 47/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 45–49. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema