Al-Ma'arij · 10/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
وَلَا يَسْأَلُ حَمِيمٌ حَمِيمًا ۝١٠
Wa laa yas`alu hameemun hameemaa
📖 Kwa Kiswahili
Wala jamaa hatamuuliza jamaa yake.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 8-12 — Al-Ma'arij

8يَوْمَ تَكُونُ السَّمَاءُ كَالْمُهْلِ
Siku ambayo mbingu zitakapo kuwa kama maadeni iliyo yayushwa.
9وَتَكُونُ الْجِبَالُ كَالْعِهْنِ
Na milima itakuwa kama sufi.
10وَلَا يَسْأَلُ حَمِيمٌ حَمِيمًا
Wala jamaa hatamuuliza jamaa yake.
11يُبَصَّرُونَهُمْ ۚ يَوَدُّ الْمُجْرِمُ لَوْ يَفْتَدِي مِنْ عَذَابِ يَوْمِئِذٍ بِبَنِيهِ
Ijapo kuwa wataonyeshwa waonane. Atatamani mkosefu lau ajikomboe na adhabu ya siku hiyo kwa kuwatoa fidia wanawe,
12وَصَاحِبَتِهِ وَأَخِيهِ
Na mkewe, na nduguye,
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
10Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 10

Sura Al-Ma'arij Aya 10 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala jamaa hatamuuliza jamaa yake.

Sura Aya 10/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 8–12. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema