Al-Ma'arij · 9/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
وَتَكُونُ ٱلۡجِبَالُ كَٱلۡعِهۡنِ  ۝٩
Wa takoonul jibaalu kal`ihn
📖 Kwa Kiswahili
Na milima itakuwa kama sufi.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 7-11 — Al-Ma'arij

7وَنَرَىٰهُ قَرِيبًا 
Na Sisi tunaiona iko karibu.
8يَوۡمَ تَكُونُ ٱلسَّمَآءُ كَٱلۡمُهۡلِ 
Siku ambayo mbingu zitakapo kuwa kama maadeni iliyo yayushwa.
9وَتَكُونُ ٱلۡجِبَالُ كَٱلۡعِهۡنِ 
Na milima itakuwa kama sufi.
10وَلَا يَسۡـَٔلُ حَمِيمٌ حَمِيمًا 
Wala jamaa hatamuuliza jamaa yake.
11يُبَصَّرُونَهُمۡۚ يَوَدُّ ٱلۡمُجۡرِمُ لَوۡ يَفۡتَدِي مِنۡ عَذَابِ يَوۡمِئِذِۭ بِبَنِيهِ 
Ijapo kuwa wataonyeshwa waonane. Atatamani mkosefu lau ajikomboe na adhabu ya siku hiyo kwa kuwatoa fidia wanawe,
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
9Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 9

Sura Aya 9/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 7–11. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema