Al-Ma'arij · 11/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
يُبَصَّرُونَهُمْ ۚ يَوَدُّ الْمُجْرِمُ لَوْ يَفْتَدِي مِنْ عَذَابِ يَوْمِئِذٍ بِبَنِيهِ ۝١١
Yubassaroonahum; ya waddul mujrimu law yaftadee min `azaabi yawma`izim bibaneeh
📖 Kwa Kiswahili
Ijapo kuwa wataonyeshwa waonane. Atatamani mkosefu lau ajikomboe na adhabu ya siku hiyo kwa kuwatoa fidia wanawe,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 9-13 — Al-Ma'arij

9وَتَكُونُ الْجِبَالُ كَالْعِهْنِ
Na milima itakuwa kama sufi.
10وَلَا يَسْأَلُ حَمِيمٌ حَمِيمًا
Wala jamaa hatamuuliza jamaa yake.
11يُبَصَّرُونَهُمْ ۚ يَوَدُّ الْمُجْرِمُ لَوْ يَفْتَدِي مِنْ عَذَابِ يَوْمِئِذٍ بِبَنِيهِ
Ijapo kuwa wataonyeshwa waonane. Atatamani mkosefu lau ajikomboe na adhabu ya siku hiyo kwa kuwatoa fidia wanawe,
12وَصَاحِبَتِهِ وَأَخِيهِ
Na mkewe, na nduguye,
13وَفَصِيلَتِهِ الَّتِي تُؤْوِيهِ
Na jamaa zake walio kuwa wakimkimu,
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
11Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 11

Sura Al-Ma'arij Aya 11 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ijapo kuwa wataonyeshwa waonane. Atatamani mkosefu lau ajikomboe na adhabu…

Sura Aya 11/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 9–13. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema