Al-Muddaththir · 17/56
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Muddaththir
سَأُرْهِقُهُ صَعُودًا ۝١٧
Sa urhiquhoo sa`oodaa
📖 Kwa Kiswahili
Nitamtesa kwa mateso yasio wezekana.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 15-19 — Al-Muddaththir

15ثُمَّ يَطْمَعُ أَنْ أَزِيدَ
Kisha anatumai nimzidishie!
16كَلَّا ۖ إِنَّهُ كَانَ لِآيَاتِنَا عَنِيدًا
Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi Aya zetu!
17سَأُرْهِقُهُ صَعُودًا
Nitamtesa kwa mateso yasio wezekana.
18إِنَّهُ فَكَّرَ وَقَدَّرَ
Kwani hakika yeye alifikiri na akapima.
19فَقُتِلَ كَيْفَ قَدَّرَ
Basi ameangamia! Vipi alivyo pima!
Al-MuddaththirFaharasa ya Qurani
56Aya
MakkaRevelation
17Aya

Tafsiri — Al-Muddaththir 17

Sura Al-Muddaththir Aya 17 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Nitamtesa kwa mateso yasio wezekana.

Sura Aya 17/56 — Al-Muddaththir المدثر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Muddaththir Sikiliza, Al-Muddaththir Tafsiri, Al-Muddaththir mp3, Al-Muddaththir pdf. Aya 15–19. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema