Al-Muddaththir · 16/56
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Muddaththir
كَلَّا ۖ إِنَّهُ كَانَ لِآيَاتِنَا عَنِيدًا ۝١٦
Kallaaa innahoo kaana li Aayaatinaa `aneedaa
📖 Kwa Kiswahili
Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi Aya zetu!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 14-18 — Al-Muddaththir

14وَمَهَّدتُّ لَهُ تَمْهِيدًا
Na nikamtgenezea mambo vizuri kabisa.
15ثُمَّ يَطْمَعُ أَنْ أَزِيدَ
Kisha anatumai nimzidishie!
16كَلَّا ۖ إِنَّهُ كَانَ لِآيَاتِنَا عَنِيدًا
Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi Aya zetu!
17سَأُرْهِقُهُ صَعُودًا
Nitamtesa kwa mateso yasio wezekana.
18إِنَّهُ فَكَّرَ وَقَدَّرَ
Kwani hakika yeye alifikiri na akapima.
Al-MuddaththirFaharasa ya Qurani
56Aya
MakkaRevelation
16Aya

Tafsiri — Al-Muddaththir 16

Sura Al-Muddaththir Aya 16 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi Aya zetu!

Sura Aya 16/56 — Al-Muddaththir المدثر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Muddaththir Sikiliza, Al-Muddaththir Tafsiri, Al-Muddaththir mp3, Al-Muddaththir pdf. Aya 14–18. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema