Al-Muddaththir · 56/56
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Muddaththir
وَمَا يَذْكُرُونَ إِلَّا أَن يَشَاءَ اللَّهُ ۚ هُوَ أَهْلُ التَّقْوَىٰ وَأَهْلُ الْمَغْفِرَةِ ۝٥٦
Wa maa yazkuroona illaaa any yashaaa`al laah; Huwa ahlut taqwaa wa ahlul maghfirah
📖 Kwa Kiswahili
Na hawatakumbuka isipo kuwa Mwenyezi Mungu atake. Uchamngu ni kwake Yeye, na msamaha ni wake Yeye.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 54-56 — Al-Muddaththir

54كَلَّا إِنَّهُ تَذْكِرَةٌ
Hasha! Kwa hakika huu ni ukumbusho!
55فَمَن شَاءَ ذَكَرَهُ
Basi anaye taka atakumbuka.
56وَمَا يَذْكُرُونَ إِلَّا أَن يَشَاءَ اللَّهُ ۚ هُوَ أَهْلُ التَّقْوَىٰ وَأَهْلُ الْمَغْفِرَةِ
Na hawatakumbuka isipo kuwa Mwenyezi Mungu atake. Uchamngu ni kwake Yeye, na msamaha ni wake Yeye.
Al-MuddaththirFaharasa ya Qurani
56Aya
MakkaRevelation
56Aya

Tafsiri — Al-Muddaththir 56

Sura Al-Muddaththir Aya 56 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na hawatakumbuka isipo kuwa Mwenyezi Mungu atake. Uchamngu ni kwake…

Sura Aya 56/56 — Al-Muddaththir المدثر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Muddaththir Sikiliza, Al-Muddaththir Tafsiri, Al-Muddaththir mp3, Al-Muddaththir pdf. Aya 54–56. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema