Al-Mursalat · 45/50
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mursalat
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ ۝٤٥
Wailuny yawma `izil lilmuzkazzibeen
📖 Kwa Kiswahili
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 43-47 — Al-Mursalat

43كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ
Kuleni na kunyweni kwa furaha kwa yale mliyo kuwa mkiyatenda.
44إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ
Hakika ndio kama hivyo tunavyo walipa watendao mema.
45وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
46كُلُوا وَتَمَتَّعُوا قَلِيلًا إِنَّكُم مُّجْرِمُونَ
Kuleni na mjifurahishe kidogo tu. Hakika nyinyi ni wakosefu!
47وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
Al-MursalatFaharasa ya Qurani
50Aya
MakkaRevelation
45Aya

Tafsiri — Al-Mursalat 45

Sura Al-Mursalat Aya 45 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!

Sura Aya 45/50 — Al-Mursalat المرسلات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mursalat Sikiliza, Al-Mursalat Tafsiri, Al-Mursalat mp3, Al-Mursalat pdf. Aya 43–47. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema