An-Naba · 15/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Naba
لِّنُخْرِجَ بِهِ حَبًّا وَنَبَاتًا ۝١٥
Linukh rija bihee habbaw wana baata
📖 Kwa Kiswahili
Ili tutoe kwayo nafaka na mimea,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 13-17 — An-Naba

13وَجَعَلْنَا سِرَاجًا وَهَّاجًا
Na tukaifanya taa yenye mwanga na joto;
14وَأَنزَلْنَا مِنَ الْمُعْصِرَاتِ مَاءً ثَجَّاجًا
Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,
15لِّنُخْرِجَ بِهِ حَبًّا وَنَبَاتًا
Ili tutoe kwayo nafaka na mimea,
16وَجَنَّاتٍ أَلْفَافًا
Na mabustani yenye miti iliyo kamatana.
17إِنَّ يَوْمَ الْفَصْلِ كَانَ مِيقَاتًا
Hakika siku ya uamuzi imewekewa wakati wake,
An-NabaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
15Aya

Tafsiri — An-Naba 15

Sura An-Naba Aya 15 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ili tutoe kwayo nafaka na mimea,

Sura Aya 15/40 — An-Naba النبأ (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Naba Sikiliza, An-Naba Tafsiri, An-Naba mp3, An-Naba pdf. Aya 13–17. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema