An-Naba · 14/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Naba
وَأَنزَلْنَا مِنَ الْمُعْصِرَاتِ مَاءً ثَجَّاجًا ۝١٤
Wa anzalna minal m`usiraati maa-an saj-jaaja
📖 Kwa Kiswahili
Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 12-16 — An-Naba

12وَبَنَيْنَا فَوْقَكُمْ سَبْعًا شِدَادًا
Na tukajenga juu yenu saba zenye nguvu?
13وَجَعَلْنَا سِرَاجًا وَهَّاجًا
Na tukaifanya taa yenye mwanga na joto;
14وَأَنزَلْنَا مِنَ الْمُعْصِرَاتِ مَاءً ثَجَّاجًا
Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,
15لِّنُخْرِجَ بِهِ حَبًّا وَنَبَاتًا
Ili tutoe kwayo nafaka na mimea,
16وَجَنَّاتٍ أَلْفَافًا
Na mabustani yenye miti iliyo kamatana.
An-NabaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
14Aya

Tafsiri — An-Naba 14

Sura An-Naba Aya 14 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,

Sura Aya 14/40 — An-Naba النبأ (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Naba Sikiliza, An-Naba Tafsiri, An-Naba mp3, An-Naba pdf. Aya 12–16. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema