An-Naba · 16/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Naba
وَجَنَّاتٍ أَلْفَافًا ۝١٦
Wa jan naatin alfafa
📖 Kwa Kiswahili
Na mabustani yenye miti iliyo kamatana.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 14-18 — An-Naba

14وَأَنزَلْنَا مِنَ الْمُعْصِرَاتِ مَاءً ثَجَّاجًا
Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,
15لِّنُخْرِجَ بِهِ حَبًّا وَنَبَاتًا
Ili tutoe kwayo nafaka na mimea,
16وَجَنَّاتٍ أَلْفَافًا
Na mabustani yenye miti iliyo kamatana.
17إِنَّ يَوْمَ الْفَصْلِ كَانَ مِيقَاتًا
Hakika siku ya uamuzi imewekewa wakati wake,
18يَوْمَ يُنفَخُ فِي الصُّورِ فَتَأْتُونَ أَفْوَاجًا
Siku litapo pulizwa barugumu, nanyi mtakuja kwa makundi,
An-NabaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
16Aya

Tafsiri — An-Naba 16

Sura An-Naba Aya 16 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na mabustani yenye miti iliyo kamatana.

Sura Aya 16/40 — An-Naba النبأ (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Naba Sikiliza, An-Naba Tafsiri, An-Naba mp3, An-Naba pdf. Aya 14–18. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema