An-Naba · 37/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Naba
رَّبِّ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا الرَّحْمَٰنِ ۖ لَا يَمْلِكُونَ مِنْهُ خِطَابًا ۝٣٧
Rabbis samaa waati wal ardi wa maa baina humar rahmaani laa yam likoona minhu khi taaba
📖 Kwa Kiswahili
Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na vilio baina yao, Arrahman, Mwingi wa rehema; hawamiliki usemi mbele yake!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 35-39 — An-Naba

35لَّا يَسْمَعُونَ فِيهَا لَغْوًا وَلَا كِذَّابًا
Hawatasikia humo upuuzi wala uwongo -
36جَزَاءً مِّن رَّبِّكَ عَطَاءً حِسَابًا
Malipo kutoka kwa Mola wako Mlezi, kipawa cha kutosha.
37رَّبِّ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا الرَّحْمَٰنِ ۖ لَا يَمْلِكُونَ مِنْهُ خِطَابًا
Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na vilio baina yao, Arrahman, Mwingi wa rehema; hawamiliki usemi mbele yake!
38يَوْمَ يَقُومُ الرُّوحُ وَالْمَلَائِكَةُ صَفًّا ۖ لَّا يَتَكَلَّمُونَ إِلَّا مَنْ أَذِنَ لَهُ الرَّحْمَٰنُ وَقَالَ صَوَابًا
Siku atakapo simama Roho na Malaika kwa safu. Hawatasema ila Mwingi wa rehema aliye mruhusu, na atasema yaliyo sawa tu.
39ذَٰلِكَ الْيَوْمُ الْحَقُّ ۖ فَمَن شَاءَ اتَّخَذَ إِلَىٰ رَبِّهِ مَآبًا
Hiyo ndiyo Siku ya haki. Basi anaye taka na ashike njia arejee kwa Mola wake Mlezi.
An-NabaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
37Aya

Tafsiri — An-Naba 37

Sura An-Naba Aya 37 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na vilio baina yao,…

Sura Aya 37/40 — An-Naba النبأ (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Naba Sikiliza, An-Naba Tafsiri, An-Naba mp3, An-Naba pdf. Aya 35–39. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema