An-Nazi'at · 28/46
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Nazi'at
رَفَعَ سَمْكَهَا فَسَوَّاهَا ۝٢٨
Raf`a sam kaha fasaw waaha
📖 Kwa Kiswahili
Akainua kimo chake, na akaitengeneza vizuri.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 26-30 — An-Nazi'at

26إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَعِبْرَةً لِّمَن يَخْشَىٰ
Kwa hakika katika haya yapo mazingatio kwa wanao ogopa.
27أَأَنتُمْ أَشَدُّ خَلْقًا أَمِ السَّمَاءُ ۚ بَنَاهَا
Je! Ni vigumu zaidi kukuumbeni nyinyi au mbingu? Yeye ndiye aliye ijenga!
28رَفَعَ سَمْكَهَا فَسَوَّاهَا
Akainua kimo chake, na akaitengeneza vizuri.
29وَأَغْطَشَ لَيْلَهَا وَأَخْرَجَ ضُحَاهَا
Na akautia giza usiku wake, na akautokeza mchana wake.
30وَالْأَرْضَ بَعْدَ ذَٰلِكَ دَحَاهَا
Na juu ya hivyo ameitandaza ardhi.
An-Nazi'atFaharasa ya Qurani
46Aya
MakkaRevelation
28Aya

Tafsiri — An-Nazi'at 28

Sura An-Nazi'at Aya 28 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Akainua kimo chake, na akaitengeneza vizuri.

Sura Aya 28/46 — An-Nazi'at النازعات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Nazi'at Sikiliza, An-Nazi'at Tafsiri, An-Nazi'at mp3, An-Nazi'at pdf. Aya 26–30. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema