Ash-Shams · 13/15
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shams
فَقَالَ لَهُمْ رَسُولُ اللَّهِ نَاقَةَ اللَّهِ وَسُقْيَاهَا ۝١٣
Faqaala lahum Rasoolul laahi naaqatal laahi wa suqiyaahaa
📖 Kwa Kiswahili
Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 11-15 — Ash-Shams

11كَذَّبَتْ ثَمُودُ بِطَغْوَاهَا
Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotofu wao,
12إِذِ انبَعَثَ أَشْقَاهَا
Alipo simama mwovu wao mkubwa,
13فَقَالَ لَهُمْ رَسُولُ اللَّهِ نَاقَةَ اللَّهِ وَسُقْيَاهَا
Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.
14فَكَذَّبُوهُ فَعَقَرُوهَا فَدَمْدَمَ عَلَيْهِمْ رَبُّهُم بِذَنبِهِمْ فَسَوَّاهَا
Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwa hivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwa sababu ya dhambi zao na akawafuta kabisa.
15وَلَا يَخَافُ عُقْبَاهَا
Wala Yeye haogopi matokeo yake.
Ash-ShamsFaharasa ya Qurani
15Aya
MakkaRevelation
13Aya

Tafsiri — Ash-Shams 13

Sura Ash-Shams Aya 13 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo waambia: Huyu ni ngamia…

Sura Aya 13/15 — Ash-Shams الشمس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shams Sikiliza, Ash-Shams Tafsiri, Ash-Shams mp3, Ash-Shams pdf. Aya 11–15. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema