Ash-Shams · 2/15
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shams
وَالْقَمَرِ إِذَا تَلَاهَا ۝٢
Wal qamari izaa talaa haa
📖 Kwa Kiswahili
Na kwa mwezi unapo lifuatia!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-4 — Ash-Shams

1وَالشَّمْسِ وَضُحَاهَا
Naapa kwa jua na mwangaza wake!
2وَالْقَمَرِ إِذَا تَلَاهَا
Na kwa mwezi unapo lifuatia!
3وَالنَّهَارِ إِذَا جَلَّاهَا
Na kwa mchana unapo lidhihirisha!
4وَاللَّيْلِ إِذَا يَغْشَاهَا
Na kwa usiku unapo lifunika!
Ash-ShamsFaharasa ya Qurani
15Aya
MakkaRevelation
2Aya

Tafsiri — Ash-Shams 2

Sura Ash-Shams Aya 2 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kwa mwezi unapo lifuatia!

Sura Aya 2/15 — Ash-Shams الشمس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shams Sikiliza, Ash-Shams Tafsiri, Ash-Shams mp3, Ash-Shams pdf. Aya 1–4. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema