Ash-Shams · 3/15
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shams
وَالنَّهَارِ إِذَا جَلَّاهَا ۝٣
Wannahaari izaa jallaa haa
📖 Kwa Kiswahili
Na kwa mchana unapo lidhihirisha!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-5 — Ash-Shams

1وَالشَّمْسِ وَضُحَاهَا
Naapa kwa jua na mwangaza wake!
2وَالْقَمَرِ إِذَا تَلَاهَا
Na kwa mwezi unapo lifuatia!
3وَالنَّهَارِ إِذَا جَلَّاهَا
Na kwa mchana unapo lidhihirisha!
4وَاللَّيْلِ إِذَا يَغْشَاهَا
Na kwa usiku unapo lifunika!
5وَالسَّمَاءِ وَمَا بَنَاهَا
Na kwa mbingu na kwa aliye ijenga!
Ash-ShamsFaharasa ya Qurani
15Aya
MakkaRevelation
3Aya

Tafsiri — Ash-Shams 3

Sura Ash-Shams Aya 3 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kwa mchana unapo lidhihirisha!

Sura Aya 3/15 — Ash-Shams الشمس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shams Sikiliza, Ash-Shams Tafsiri, Ash-Shams mp3, Ash-Shams pdf. Aya 1–5. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema