Al-Layl · 9/21
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Layl
وَكَذَّبَ بِالْحُسْنَىٰ ۝٩
Wa kazzaba bil husnaa
📖 Kwa Kiswahili
Na akakanusha lilio jema,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 7-11 — Al-Layl

7فَسَنُيَسِّرُهُ لِلْيُسْرَىٰ
Tutamsahilishia yawe mepesi.
8وَأَمَّا مَن بَخِلَ وَاسْتَغْنَىٰ
Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake,
9وَكَذَّبَ بِالْحُسْنَىٰ
Na akakanusha lilio jema,
10فَسَنُيَسِّرُهُ لِلْعُسْرَىٰ
Tutamsahilishia yawe mazito!
11وَمَا يُغْنِي عَنْهُ مَالُهُ إِذَا تَرَدَّىٰ
Na mali yake yatamfaa nini atapo kuwa anadidimia?
Al-LaylFaharasa ya Qurani
21Aya
MakkaRevelation
9Aya

Tafsiri — Al-Layl 9

Sura Al-Layl Aya 9 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na akakanusha lilio jema,

Sura Aya 9/21 — Al-Layl الليل (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Layl Sikiliza, Al-Layl Tafsiri, Al-Layl mp3, Al-Layl pdf. Aya 7–11. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema