Al-Layl · 8/21
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Layl
وَأَمَّا مَن بَخِلَ وَاسْتَغْنَىٰ ۝٨
Wa ammaa mam bakhila wastaghnaa
📖 Kwa Kiswahili
Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 6-10 — Al-Layl

6وَصَدَّقَ بِالْحُسْنَىٰ
Na akaliwafiki lilio jema,
7فَسَنُيَسِّرُهُ لِلْيُسْرَىٰ
Tutamsahilishia yawe mepesi.
8وَأَمَّا مَن بَخِلَ وَاسْتَغْنَىٰ
Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake,
9وَكَذَّبَ بِالْحُسْنَىٰ
Na akakanusha lilio jema,
10فَسَنُيَسِّرُهُ لِلْعُسْرَىٰ
Tutamsahilishia yawe mazito!
Al-LaylFaharasa ya Qurani
21Aya
MakkaRevelation
8Aya

Tafsiri — Al-Layl 8

Sura Al-Layl Aya 8 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya…

Sura Aya 8/21 — Al-Layl الليل (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Layl Sikiliza, Al-Layl Tafsiri, Al-Layl mp3, Al-Layl pdf. Aya 6–10. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema