Al-Layl · 10/21
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Layl
فَسَنُيَسِّرُهُ لِلْعُسْرَىٰ ۝١٠
Fasanu yassiruhoo lil`usraa
📖 Kwa Kiswahili
Tutamsahilishia yawe mazito!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 8-12 — Al-Layl

8وَأَمَّا مَن بَخِلَ وَاسْتَغْنَىٰ
Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake,
9وَكَذَّبَ بِالْحُسْنَىٰ
Na akakanusha lilio jema,
10فَسَنُيَسِّرُهُ لِلْعُسْرَىٰ
Tutamsahilishia yawe mazito!
11وَمَا يُغْنِي عَنْهُ مَالُهُ إِذَا تَرَدَّىٰ
Na mali yake yatamfaa nini atapo kuwa anadidimia?
12إِنَّ عَلَيْنَا لَلْهُدَىٰ
Hakika ni juu yetu kuonyesha uwongofu.
Al-LaylFaharasa ya Qurani
21Aya
MakkaRevelation
10Aya

Tafsiri — Al-Layl 10

Sura Al-Layl Aya 10 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Tutamsahilishia yawe mazito!

Sura Aya 10/21 — Al-Layl الليل (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Layl Sikiliza, Al-Layl Tafsiri, Al-Layl mp3, Al-Layl pdf. Aya 8–12. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema