Al-Qari'a · 4/11
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qari'a
يَوْمَ يَكُونُ النَّاسُ كَالْفَرَاشِ الْمَبْثُوثِ ۝٤
Yauma ya koonun naasu kal farashil mabthooth
📖 Kwa Kiswahili
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
🎧 Sikiliza

📜 Aya 2-6 — Al-Qari'a

2مَا الْقَارِعَةُ
Nini Inayo gonga?
3وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْقَارِعَةُ
Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?
4يَوْمَ يَكُونُ النَّاسُ كَالْفَرَاشِ الْمَبْثُوثِ
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
5وَتَكُونُ الْجِبَالُ كَالْعِهْنِ الْمَنفُوشِ
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
6فَأَمَّا مَن ثَقُلَتْ مَوَازِينُهُ
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
Al-Qari'aFaharasa ya Qurani
11Aya
MakkaRevelation
4Aya

Tafsiri — Al-Qari'a 4

Sura Al-Qari'a Aya 4 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;

Sura Aya 4/11 — Al-Qari'a القارعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qari'a Sikiliza, Al-Qari'a Tafsiri, Al-Qari'a mp3, Al-Qari'a pdf. Aya 2–6. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema