Al-Qari'a · 5/11
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qari'a
وَتَكُونُ ٱلۡجِبَالُ كَٱلۡعِهۡنِ ٱلۡمَنفُوشِ  ۝٥
Wa ta koonul jibalu kal `ihnil manfoosh
📖 Kwa Kiswahili
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 3-7 — Al-Qari'a

3وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡقَارِعَةُ 
Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?
4يَوۡمَ يَكُونُ ٱلنَّاسُ كَٱلۡفَرَاشِ ٱلۡمَبۡثُوثِ 
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
5وَتَكُونُ ٱلۡجِبَالُ كَٱلۡعِهۡنِ ٱلۡمَنفُوشِ 
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
6فَأَمَّا مَن ثَقُلَتۡ مَوَٰزِينُهُۥ 
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
7فَهُوَ فِي عِيشَةٍ رَّاضِيَةٍ 
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.
Al-Qari'aFaharasa ya Qurani
11Aya
MakkaRevelation
5Aya

Tafsiri — Al-Qari'a 5

Sura Aya 5/11 — Al-Qari'a القارعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qari'a Sikiliza, Al-Qari'a Tafsiri, Al-Qari'a mp3, Al-Qari'a pdf. Aya 3–7. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema