Al-Hijr · 29/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
فَإِذَا سَوَّيْتُهُ وَنَفَخْتُ فِيهِ مِن رُّوحِي فَقَعُوا لَهُ سَاجِدِينَ ۝٢٩
Fa izaa sawwaituhoo wa nafakhtu feehi mir roohee faqa`oo lahoo saajideen
📖 Kwa Kiswahili
Basi nitakapo mkamilisha na nikampulizia roho yangu, basi mumwangukie kumsujudia.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 27-31 — Al-Hijr

27وَالْجَانَّ خَلَقْنَاهُ مِن قَبْلُ مِن نَّارِ السَّمُومِ
Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.
28وَإِذْ قَالَ رَبُّكَ لِلْمَلَائِكَةِ إِنِّي خَالِقٌ بَشَرًا مِّن صَلْصَالٍ مِّنْ حَمَإٍ مَّسْنُونٍ
Na Mola wako Mlezi alipo waambia Malaika: Hakika Mimi nitamuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura.
29فَإِذَا سَوَّيْتُهُ وَنَفَخْتُ فِيهِ مِن رُّوحِي فَقَعُوا لَهُ سَاجِدِينَ
Basi nitakapo mkamilisha na nikampulizia roho yangu, basi mumwangukie kumsujudia.
30فَسَجَدَ الْمَلَائِكَةُ كُلُّهُمْ أَجْمَعُونَ
Basi Malaika wote pamoja walimsujudia,
31إِلَّا إِبْلِيسَ أَبَىٰ أَن يَكُونَ مَعَ السَّاجِدِينَ
Isipo kuwa Iblisi. Yeye alikataa kuwa pamoja na walio sujudu.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
29Aya

Tafsiri — Al-Hijr 29

Sura Al-Hijr Aya 29 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi nitakapo mkamilisha na nikampulizia roho yangu, basi mumwangukie kumsujudia.

Sura Aya 29/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 27–31. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema