Taha · 106/135
Tafsiri Uandishi wa sauti — Taha
فَيَذَرُهَا قَاعًا صَفْصَفًا ١٠٦
Transliteration
Fa yazaruhaa qaa`an safsafaa
Tafsiri (Kwa Kiswahili)
📖 Kwa Kiswahili
Na ataiacha tambarare, uwanda.
Additional reference in Soomaali
🎧 Sikiliza
📜 Aya 104-108 — Taha
104نَّحْنُ أَعْلَمُ بِمَا يَقُولُونَ إِذْ يَقُولُ أَمْثَلُهُمْ طَرِيقَةً إِن لَّبِثْتُمْ إِلَّا يَوْمًا
Sisi tunajua zaidi watakayo yasema, atakapo sema mbora wao katika mwendo: Nyinyi hamkukaa ila siku moja tu.
105وَيَسْأَلُونَكَ عَنِ الْجِبَالِ فَقُلْ يَنسِفُهَا رَبِّي نَسْفًا
Na wanakuuliza khabari za milima. Waambie: Mola wangu Mlezi ataivuruga vuruga.
106فَيَذَرُهَا قَاعًا صَفْصَفًا
Na ataiacha tambarare, uwanda.
107لَّا تَرَىٰ فِيهَا عِوَجًا وَلَا أَمْتًا
Hutaona humo mdidimio wala muinuko.
108يَوْمَئِذٍ يَتَّبِعُونَ الدَّاعِيَ لَا عِوَجَ لَهُ ۖ وَخَشَعَتِ الْأَصْوَاتُ لِلرَّحْمَٰنِ فَلَا تَسْمَعُ إِلَّا هَمْسًا
Siku hiyo watamfuata muitaji asiye na upotofu. Na sauti zote zitamnyenyekea Arrahmani Mwingi wa Rahema. Basi husikii ila mchakato na mnong'ono.
TahaFaharasa ya Qurani
135Aya
MakkaRevelation
106Aya
Tafsiri — Taha 106
Sura Taha Aya 106 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ataiacha tambarare, uwanda.Sura Aya 106/135 — Taha طه (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Taha Sikiliza, Taha Tafsiri, Taha mp3, Taha pdf. Aya 104–108. Kwa Kiswahili: Soomaali.
العربية
English
Bahasa Indonesia
Türkçe
Русский
فارسی
Français
اردو
বাংলা
Deutsch
Español
中文
हिन्दी
Português
Italiano
ภาษาไทย
Polski
Nederlands
Shqip
Kiswahili
O'zbek
தமிழ்
Melayu
Bosanski
Soomaali
Azərbaycan
کوردی
한국어
日本語
Svenska
Dansk
Norsk
پښتو
മലയാളം
සිංහල
Tamazight
Hausa
አማርኛ
Български
Тоҷикӣ
Қазақша
Filipino
سنڌي
Yorùbá
Fulfulde
Татарча
ئۇيغۇرچە
Кыргызча
ਪੰਜਾਬੀ
Jawa
తెలుగు
မြန်မာ
ગુજરાતી
Oromo
मराठी
Tiếng Việt
Malagasy
Нохчийн
Wolof
ދިވެހި
ಕನ್ನಡ
Українська
Ελληνικά
ქართული
ខ្មែរ
دری
Qafar af
Maranao
नेपाली
Kurani Tukufu
Tuesday, August 18, 2026
Usitusahau katika dua zako njema








