Taha · 106/135
Tafsiri Uandishi wa sauti — Taha
فَيَذَرُهَا قَاعًا صَفْصَفًا ۝١٠٦
Fa yazaruhaa qaa`an safsafaa
📖 Kwa Kiswahili
Na ataiacha tambarare, uwanda.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 104-108 — Taha

104نَّحْنُ أَعْلَمُ بِمَا يَقُولُونَ إِذْ يَقُولُ أَمْثَلُهُمْ طَرِيقَةً إِن لَّبِثْتُمْ إِلَّا يَوْمًا
Sisi tunajua zaidi watakayo yasema, atakapo sema mbora wao katika mwendo: Nyinyi hamkukaa ila siku moja tu.
105وَيَسْأَلُونَكَ عَنِ الْجِبَالِ فَقُلْ يَنسِفُهَا رَبِّي نَسْفًا
Na wanakuuliza khabari za milima. Waambie: Mola wangu Mlezi ataivuruga vuruga.
106فَيَذَرُهَا قَاعًا صَفْصَفًا
Na ataiacha tambarare, uwanda.
107لَّا تَرَىٰ فِيهَا عِوَجًا وَلَا أَمْتًا
Hutaona humo mdidimio wala muinuko.
108يَوْمَئِذٍ يَتَّبِعُونَ الدَّاعِيَ لَا عِوَجَ لَهُ ۖ وَخَشَعَتِ الْأَصْوَاتُ لِلرَّحْمَٰنِ فَلَا تَسْمَعُ إِلَّا هَمْسًا
Siku hiyo watamfuata muitaji asiye na upotofu. Na sauti zote zitamnyenyekea Arrahmani Mwingi wa Rahema. Basi husikii ila mchakato na mnong'ono.
TahaFaharasa ya Qurani
135Aya
MakkaRevelation
106Aya

Tafsiri — Taha 106

Sura Taha Aya 106 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ataiacha tambarare, uwanda.

Sura Aya 106/135 — Taha طه (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Taha Sikiliza, Taha Tafsiri, Taha mp3, Taha pdf. Aya 104–108. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema