Taha · 18/135
Tafsiri Uandishi wa sauti — Taha
قَالَ هِيَ عَصَايَ أَتَوَكَّأُ عَلَيْهَا وَأَهُشُّ بِهَا عَلَىٰ غَنَمِي وَلِيَ فِيهَا مَآرِبُ أُخْرَىٰ ۝١٨
Qaala hiya `asaaya atawakka`u alaihaa wa ahushshu bihaa `alaa ghanamee wa liya feehaa ma aaribu ukhraa
📖 Kwa Kiswahili
Akasema: Hii ni fimbo yangu; naiegemea na ninawaangushia majani kondoo na mbuzi wangu. Tena inanifaa kwa matumizi mengine.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 16-20 — Taha

16فَلَا يَصُدَّنَّكَ عَنْهَا مَن لَّا يُؤْمِنُ بِهَا وَاتَّبَعَ هَوَاهُ فَتَرْدَىٰ
Kwa hivyo asikukengeushe nayo yule ambaye haiamini na akafuata pumbao lake ukaja kuhiliki.
17وَمَا تِلْكَ بِيَمِينِكَ يَا مُوسَىٰ
Na nini hicho kilichomo mkononi mwako wa kulia, ewe Musa?
18قَالَ هِيَ عَصَايَ أَتَوَكَّأُ عَلَيْهَا وَأَهُشُّ بِهَا عَلَىٰ غَنَمِي وَلِيَ فِيهَا مَآرِبُ أُخْرَىٰ
Akasema: Hii ni fimbo yangu; naiegemea na ninawaangushia majani kondoo na mbuzi wangu. Tena inanifaa kwa matumizi mengine.
19قَالَ أَلْقِهَا يَا مُوسَىٰ
Akasema: Itupe, ewe Musa!
20فَأَلْقَاهَا فَإِذَا هِيَ حَيَّةٌ تَسْعَىٰ
Akaitupa. Mara ikawa nyoka anaye kwenda mbio.
TahaFaharasa ya Qurani
135Aya
MakkaRevelation
18Aya

Tafsiri — Taha 18

Sura Taha Aya 18 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Akasema: Hii ni fimbo yangu; naiegemea na ninawaangushia majani kondoo…

Sura Aya 18/135 — Taha طه (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Taha Sikiliza, Taha Tafsiri, Taha mp3, Taha pdf. Aya 16–20. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema